Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 4:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Wanadamu wanaangamia kwa saa chache tu; wanaangamia milele bila kuacha hata alama.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 4:20
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Taifa moja lilipigana na taifa lingine na muji mumoja ulipigana na muji mwingine, kwa sababu Mungu aliwafazaisha kwa taabu za kila aina.


Yoramu alianza kutawala akiwa na umri wa miaka makumi tatu na miwili; akatawala kule Yerusalema kwa muda wa miaka minane. Wakati alipokufa, hakuna mutu yeyote aliyemusikitikia. Alizikwa katika muji wa Daudi, lakini si katika makaburi ya wafalme.


Mutu akikufa anaweza kuishi tena? Siku zangu zote za kazi ningekungoja mpaka wakati wa kufunguliwa ufike.


Anachanua kama maua, kisha ananyauka. Anakimbia kama kivuli na kutoweka.


Wewe unamwangusha mwanadamu, naye anatoweka milele; unaubadilisha uso wake na kumutupilia mbali.


Kweli, miaka yangu ni michache, nami nitakwenda kule ambako sitarudi.


Katika inchi hakuna atakayemukumbuka; jina lake halitatamkwa tena katika barabara.


atatupiliwa mbali kama mavi yake. Waliopata kumujua watajiuliza: “Yuko wapi?”


Kisha nikapita pale, naye hakukuwa tena; nikamutafuta, lakini hakuonekana tena.


Usikie maombi yangu, ee Yawe, usikilize kilio changu, usikae kimya ninapolia. Maana, mimi ni kama mugeni tu anayepita, ni musafiri kama vile babu zangu wote walivyokuwa.


Mutu mupumbafu hawezi kufahamu, wala mujinga hajui jambo hili:


Mwenye haki anakumbukwa kwa baraka, lakini waovu watasahauliwa kabisa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ