Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 4:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Mungu hawaaminie hata watumishi wake, na wamalaika wake anawaona wana kosa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 4:18
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwanadamu anaweza kumufundisha Mungu maarifa, Mungu ambaye anahukumu wakaaji wa mbinguni?


Mutu anaweza basi namna gani kuwa mwenye haki mbele ya Mungu? Mwanadamu tu anaweza namna gani kujidai kuwa safi?


Unaufanya upepo kuwa mujumbe wako, moto na ndimi zake kuwa watumishi wako.


Kwa maana Mungu hakuwahurumia wale wamalaika waliofanya zambi, lakini aliwatupa katika jehenamu. Wao wanalindwa mule wakifungwa minyororo katika giza nzito wakingojea Siku ile ya hukumu.


Mukumbuke vilevile wamalaika wale waliokosa kulinda vema cheo chao, lakini wakaacha makao yao: Mungu akawaweka katika nafasi ya giza, wakifungwa minyororo ya milele kwa kungojea Siku ile ya hukumu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ