16 Kitu kimoja kikasimama mbele yangu. Nilipokiangalia sikukitambua kabisa. Kulikuwa umbo moja mbele yangu. Kulikuwa kimya, kisha nikasikia sauti:
Tetemeko likapita, kukakuwa moto. Lakini Yawe hakukuwa katika moto ule. Nyuma ya moto, kukatokea sauti ndogo, tulivu.
Upepo ukapita mbele ya uso wangu, nywele za mwili wangu zikasimama.
“Mwanadamu anaweza kuwa mwenye haki mbele ya Mungu? Mutu anaweza kuwa safi mbele ya Muumba wake?