Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 4:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Nikashikwa na hofu na kutetemeka; mifupa yangu yote ikagonganagongana.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 4:14
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mungu anamwazibu mutu kwa maumivu yanayomuweka katika kitanda, maumivu yanashika viungo vyake bila kukoma;


Ilikuwa usiku wakati watu wanapoota ndoto, wakati usingizi muzito unawashika watu.


Upepo ukapita mbele ya uso wangu, nywele za mwili wangu zikasimama.


wewe unakuja kunitia hofu kwa ndoto, unanitisha kwa kuniletea maono,


Ninatetemeka kwa kukuogopa wewe; nimejaa hofu kwa sababu ya maamuzi yako.


Basi, mimi nikasema: Ole kwangu! Mimi nimeangamia, maana, midomo yangu ni michafu, na watu ninaoishi nao ni wenye midomo michafu. Hata hivyo, kwa macho yangu mwenyewe, nimemwona Mufalme, Yawe wa majeshi.


Akaniambia: Danieli, wewe unayependwa sana, simama sawa usikilize kwa uangalifu maneno nitakayosema, maana nimetumwa kwako. Alipokuwa akiniambia maneno haya, mimi nilisimama nikitetemeka.


Nikasikia hayo, matumbotumbo yangu yakatetemeka. Midomo yangu inatetemeka kwa hofu, mifupa yangu inateguka, miguu yangu inatetemeka. Ninangojea kwa utulivu siku ile ya hasara, ambayo inawafikia wale wanaotushambulia.


Wakati Zakaria alipomwona, akahangaika na kushikwa na woga.


Wakati Maria aliposikia maneno haya, akahangaika sana na kujiuliza: “Maana ya salamu hii ni nini?”


Wakati nilipomwona, nikaanguka chini kwa rafla mbele yake kama vile mufu. Lakini akaweka mukono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa mwisho.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ