12 Siku moja, niliambiwa neno kwa siri, sikio langu lilisikia manongonezo yake.
Sikia! Hayo yote nimeyaona kwa macho yangu. Nimeyasikia kwa masikio yangu mwenyewe na kuelewa.
Ikiwa haya ni machache tu ya matendo yake, ni minongono tu tunayosikia juu yake, nani anayeweza kujua ukubwa wa nguvu yake?
Mungu anaongea na watu katika ndoto na maono, wakati usingizi muzito unapowapata,
Musitegemee kutesa, musijisifie mali ya wizi; kama mali zikiongezeka, musizitegemee.
Kwa maana wakati wa sasa tunaona kama mwenye kuangalia ndani ya kioo kisichoonyesha wazi, lakini wakati utakaokuja tutaona waziwazi. Kwa sasa ninajua tu mambo machache, lakini nyuma nitajua kwa utimilifu kama vile Mungu anavyonijua mimi.