10 Waovu wananguruma kama simba mukali, lakini meno yao inavunjwa.
Nilivunja nguvu za watu waovu, nikawafanya wawaachilie mateka wao.
Lakini Mungu anawaokoa wayatima wasiuawe, anawaponyesha wakosefu toka katika mikono ya wenye nguvu.
Sitaogopa maelfu ya watu wanaonizunguka kila upande.
Atanipelekea musaada toka mbinguni na kuniokoa, atawafezehesha hao wanaonishambulia. Mungu atanionyesha wema na uaminifu wake!
ambaye hasikii hata sauti ya mulozi, au ya muganga anayekuwa fundi wa uchawi.
Ee Mungu, uvunje meno yao, uongoe, ee Yawe, meno ya simba wakali hao.
Kuna watu ambao meno yao ni kama upanga, na mataya yao ni kama visu. Wako tayari kuwatafuna wamasikini wa inchi, na wakosefu wanaokuwa kati ya watu!