Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 39:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Wanajitenga kabisa na makelele ya miji, hawasikilizi kelele la muchungaji.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 39:7
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kule wafungwa wanastarehe pamoja, hawasikii hata kidogo sauti ya wasimamizi.


Unaweza kumufunga mbogo kamba kwa kulima shamba, au akokote jembe la kulima?


Lakini akianza kukimbia, anamuchekelea hata farasi na mupanda-farasi.


Mimi niliwapa jangwa likuwe nyumba yao, mbuga zenye chumvi kuwa makao yao.


Wanatembeatembea katika milima kwa kupata malisho, na kutafuta kitu chochote kinachokuwa kibichi.


Muende sasa mufanye kazi; maana hamutapewa nyasi na mutafyatua hesabu ileile ya matofali.”


Yawe aliniambia hivi: Simba mukali ananguruma kwa kukinga nyama aliyemukamata; hata kundi la wachungaji likiitwa kwa kumufukuza, hatishiki kwa kelele zao, wala hashituki kwa sauti zao. Ni vile Yawe wa majeshi atakavyoshuka kupigana juu ya mulima Sayuni na kilima chake.


Ninyi munaniuliza: Kwa nini tunafunga kula lakini wewe hauoni? Mbona tunajitesa, lakini wewe haujali? Ukweli ni kwamba wakati munapofunga kula, munatafuta tu furaha yenu wenyewe na kuwagandamiza watumishi wenu!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ