Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 39:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Mimi niliwapa jangwa likuwe nyumba yao, mbuga zenye chumvi kuwa makao yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 39:6
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo kama punda wa pori katika jangwa, wanatoka mapema kwenda kutumika, wakitafuta chakula kwa bidii, kusudi wapate chochote cha kukulisha watoto wao.


Wanajitenga kabisa na makelele ya miji, hawasikilizi kelele la muchungaji.


Udongo wenye mboleo akaugeuza kuwa udongo usioweza kutoa, kwa sababu ya uovu wa wakaaji wake.


Punda wa pori wanasimama kwenye vichwa vya vilima vyenye kukauka, wakivuta hewa kama mbweha; macho yao yanafifia kwa ukosefu wa majani.


Huyo ni kama kichaka katika jangwa, hataona mazuri yoyote. Ataishi pahali penye kukauka katika jangwa, kwenye udongo ulioharibiwa na chumvi, na usiokaliwa na watu.


kama punda dike wa pori aliyezoea jangwa. Katika tamaa yake ananusanusa upepo; nani anayeweza kumuzuiza katika hamu yake? Dume anayemutamani hahitaji kujisumbua; wakati wake unapofika watamupata tu.


Lakini sehemu zake zenye majimaji na tingitingi kandokando ya bahari, zitakuwa na maji mazuri. Lakini hayo yatabaki kuwa maji ya chumvi.


Wamekwenda kuomba musaada Asuria. Efuraimu ni punda wa pori anayetangatanga peke yake; Efuraimu amejilipia wapenzi wake.


Hata mataifa yote yatasema: ‘Kwa nini Yawe ameitendea hivyo inchi hii? Hasira hii kubwa ina maana gani?’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ