Kwa hiyo kama punda wa pori katika jangwa, wanatoka mapema kwenda kutumika, wakitafuta chakula kwa bidii, kusudi wapate chochote cha kukulisha watoto wao.
Huyo ni kama kichaka katika jangwa, hataona mazuri yoyote. Ataishi pahali penye kukauka katika jangwa, kwenye udongo ulioharibiwa na chumvi, na usiokaliwa na watu.
kama punda dike wa pori aliyezoea jangwa. Katika tamaa yake ananusanusa upepo; nani anayeweza kumuzuiza katika hamu yake? Dume anayemutamani hahitaji kujisumbua; wakati wake unapofika watamupata tu.