4 Vitoto vyao vinapata nguvu, vinakomaa kulekule katika pori, kisha vinawaacha wamama zao na kwenda zao.
Nao nyama wote katika dunia, ndege wote wa anga, viumbe vyote vinavyotambaa, kila kiumbe chenye uzima, chakula chao kitakuwa majani yote ya mimea.” Ikakuwa hivyo.
Wanachutama kwa kuzaa, wanazaa vitoto vyao.
Nani aliyemwacha huru punda wa pori? Nani aliyewaacha waende kwa kuwafungua?