2 Unajua anapata mimba kwa muda gani, au siku yenyewe ya kuzaa unaijua?
Unajua mbuzi wa milima anazaa wakati gani, au umekwisha kuona kulungu akizaa?
Wanachutama kwa kuzaa, wanazaa vitoto vyao.
kama punda dike wa pori aliyezoea jangwa. Katika tamaa yake ananusanusa upepo; nani anayeweza kumuzuiza katika hamu yake? Dume anayemutamani hahitaji kujisumbua; wakati wake unapofika watamupata tu.