Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 38:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41 Ni nani anayewapa vibombobombo chakula chao, vitoto vyao vinaponililia mimi Mungu, na kurukaruka huku na kule kwa njaa?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 38:41
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Utwae vilevile aina zote za vyakula vinavyokuliwa, uvilinde kwa ajili ya chakula chenu na viumbe hivyo.”


Anawapa nyama chakula chao, na kulisha vitoto vya kibombobombo vinapomulilia.


Muangalie ndege wanaoruka katika anga: wao hawapandi mbegu wala hawavuni, wala hawaweki mavuno ndani ya gala, lakini Baba yenu anayekuwa mbinguni anawakulisha! Basi ninyi si wa lazima zaidi kuliko ndege wale?


Mufikiri juu ya kibombobombo: ndege hao hawapandi mbegu, hawavuni, hawana gala wala nafasi yoyote ya kuwekea mavuno, lakini Mungu anawalisha. Ninyi ni wa lazima zaidi kuliko ndege!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ