2 Nani wewe unayevuruga mipango yangu kwa maneno yasiyokuwa na akili?
Mimi nami nina ufahamu kama ninyi. Mimi si mutu wa akili ndogo kuliko ninyi. Yote muliyosema kila mutu anajua.
Nani basi, anayeweza kuhakikisha kwamba mimi ni mwongo na kuonyesha kwamba maneno yangu si kweli?
Jinsi gani ulivyomushauri asiyekuwa na hekima, na kumushirikisha ujuzi wako!
Nitawafundisha jinsi kitendo cha Mungu kinavyokuwa, sitawaficha mipango ya Mungu Mwenye Uwezo.
“Yobu anaongea bila kutumia akili, maneno yake hayana maana.”
Yobu anafungua kinywa kusema maneno matupu, anazidisha maneno bila akili.
Ulisema kwamba nilivuruga mipango yako bila akili. Kweli nilitamka kitu ambacho sikuelewa, mambo ya ajabu sana kwangu ambayo sikukuwa ninayajua.
Wanataka kuwa walimu wa Sheria ya Musa, lakini hawaelewi wao wenyewe maneno wanayosema wala maneno wanayohakikisha.