Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 38:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 kusudi yapate kukamata dunia kwa pembe zake na kuwatikisa watenda mabaya?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 38:13
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Maana yeye anaona mpaka kwenye miisho ya dunia, anaona kila kitu chini ya mbingu.


Kwa maana anayajua matendo yao yote, anawapindua usiku waangamie.


Anawapiga mbele ya watu kwa ajili ya uovu wao,


Hawaachilii waovu waendelee kuishi; lakini anawapatia wanaoteswa haki zao.


Anafanya uenee chini ya mbingu yote, anaeneza umeme wake katika pembe zote za dunia.


Yobu, tangu uzaliwe umekwisha kuamuru kupambazuke na kufanya mapambazuko yajue pahali pake,


Dunia inageuka na kupata rangi kama nguo; kama udongo wa mufinyanzi unavyogeuzwa na muhuri.


Wenye zambi wote waondolewe katika dunia, waovu wote wasikuwe tena! Umusifu Yawe, ee nafsi yangu! Haleluia!


Basi, Musa akanyoosha mukono wake juu ya bahari na kulipopambazuka bahari ikarudilia hali yake ilivyokuwa. Wamisri wakajaribu kukimbia maji lakini Yawe akawasukumizia ndani ya bahari.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ