Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 38:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Yobu, tangu uzaliwe umekwisha kuamuru kupambazuke na kufanya mapambazuko yajue pahali pake,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 38:12
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwangaza akauita “Muchana” na giza akaliita “Usiku”. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya kwanza.


Wewe ndiwe mutu wa kwanza kuzaliwa? Wewe ulizaliwa mbele ya kuwa kwa vilima?


Usiku wezi wanavunja nyumba, lakini muchana wanajifungia ndani; wala hawajui kabisa mwangaza ni nini.


na kuiambia: “Mwisho wako ni hapa, si zaidi! Mawimbi yako ya nguvu yatakomea hapa!”


kusudi yapate kukamata dunia kwa pembe zake na kuwatikisa watenda mabaya?


Wewe unapaswa kujua, wewe ambaye umekwisha ishi miaka mingi!


Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya dunia? Uniambie, kama una maarifa.


Sisi ni watu wa juzijuzi tu, hatujui kitu; siku zetu katika dunia ni kivuli kinachopita.


Muchana ni wako na usiku ni wako; umeweka mwezi na jua kwenye nafasi zao.


Huyo aliyezifanya nyota zinazoitwa Kilimia na Orioni, ambaye analigeuza giza nene kuwa muchana, na muchana kuwa usiku; yeye anayekusanya maji ya bahari na kuyamwanga juu ya inchi kavu, Yawe ndilo jina lake.


Kutokana na huruma kubwa ya Mungu wetu, atatutumia mwangaza kutoka juu.


Vilevile tunaamini ujumbe uliotangazwa na manabii. Ninyi munafanya vema mukishikamana nao. Ujumbe huo ni kama taa inayoangaza pahali pa giza, mpaka wakati wa mapambazuko na wakati nyota ya asubui itakapoangazia mioyo yenu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ