Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 38:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 aliyeiwekea bahari mipaka na kuizuia kwa vifungio na milango

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 38:10
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

nitakumbuka agano langu nanyi na viumbe vyote vyenye uzima. Maji hayatageuka hata kidogo kuwa mafuriko ya kuangamiza viumbe vyote vyenye uzima.


Amechora muviringo juu ya uso wa bahari, penye mpaka kati ya mwangaza na giza.


na kuiambia: “Mwisho wako ni hapa, si zaidi! Mawimbi yako ya nguvu yatakomea hapa!”


Ni nani aliyefunika bahari kwa mawingu na kuiviringishia giza kubwa,


Shingo yake ina nguvu ajabu, nyama yule anapotokea watu wanapatwa na hofu.


Uliyawekea hayo maji mipaka yasiyoweza kutambuka, kusudi yasifunike tena dunia.


Alikusanya maji ya bahari kama katika chupa, akavifunga vilindi vya bahari ndani ya gala.


wakati alipowekea bahari mupaka wake kusudi maji yake yasipate kuvunja amri yake, wakati alipoweka misingi ya dunia.


Mbona hamuniogopi? –Ni ujumbe wa Yawe.– Kwa nini hamutetemeki mbele yangu? Mimi niliwekea bahari muchanga kuwa mupaka wake; ni kizuizo cha milele ambacho bahari haiwezi kuvuka. Ingawa mawimbi yanaupiga, hayawezi kuupita; ingawa yanavuma, hayawezi kuuruka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ