Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 37:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Anafanya uenee chini ya mbingu yote, anaeneza umeme wake katika pembe zote za dunia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 37:3
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Maana yeye anaona mpaka kwenye miisho ya dunia, anaona kila kitu chini ya mbingu.


alipoamua mvua inyeshe wapi, umeme na radi vipite wapi,


Mungu analijaza wingu manyunyu mazito; mawingu yanasambaza umeme wake.


Kwa amri yake vyote vinazunguka huku na kule, kutimiza kila kitu anachoviamuru, kufanya katika ulimwengu wa viumbe.


Halafu sauti yake inanguruma, sauti ya Mungu inanguruma kwa utukufu; yeye hazuizi umeme wakati inaposikilika.


kusudi yapate kukamata dunia kwa pembe zake na kuwatikisa watenda mabaya?


Wewe ukiamuru umeme uangaze, utakufikia na kusema: “Nipo hapa”?


Ninafikiri juu ya kazi zako, ninawaza juu ya matendo yako makubwa.


Umeme wake unaangaza ulimwengu; dunia inauona na kutetemeka.


Naye atasimika bendera kuwaita mataifa, kuwakusanya Waisraeli waliozarauliwa, kuwaleta pamoja watu wa Yuda waliotawanywa, na kuwarudisha toka pembe ine za dunia.


Kwa maana kama vile umeme unavyoangaza na kuonekana katika mbingu yote, ni vile Mwana wa Mutu atakavyoonekana siku atakapokuja.


Kisha hekalu la Mungu linalokuwa mbinguni likafunguliwa, na Sanduku la Agano lake likaonekana ndani yake. Halafu kukatokea umeme, makelele, ngurumo ya radi, tetemeko la inchi na mvua kubwa ya mawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ