1 Kisha Elihu akaendelea kusema:
Basi, Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi, akaanza kusema: Mimi ni kijana, ninyi ni wazee zaidi. Kwa hiyo niliogopa kuwaambia mawazo yangu.
Kama sivyo, nyamaza unisikilize, ukae kimya nami nikufundishe hekima.
Musikilize maneno yangu, enyi wenye hekima, munitegee masikio yenu, ninyi wenye ujuzi.
Kisha Elihu akaendelea kusema: