7 Kwa hiyo hauna sababu ya kuniogopa; maneno yangu mazito hayatakulemea.
kwanza uniondolee mukono wako unaonipiga, na usiniogopeshe kwa kitisho chako.
Mungu aniondolee hiyo fimbo ya kunipiga, na kitisho chake kisinitie hofu!
Nimeteseka na kukaribia kifo tangu ujana wangu; ninateseka kwa mapigo yako, niko tabani kabisa.
Muchana na usiku mukono wako ulinilemea; nguvu zangu zikakwisha, kama maji yanavyokauka wakati wa kipwa.
Kweli umesema, nami nikasikia; nimesikia yote uliyosema.
Mungu si mutu kama mimi nipate kumujibu, hata tuweze kwenda katika tribinali pamoja.