Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 32:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Si lazima kuwa muzee kusudi ukuwe na hekima; haiko wazee tu ndio wenye kufahamu jambo linalokuwa sawa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 32:9
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mufalme Daudi aliwaambia watumishi wake: “Hamujui kwamba leo mukubwa na mutu wa heshima amekufa katika inchi ya Israeli?


Ananyanganya washauri zawadi yao ya kusema, anaondolea wazee ufahamu wao.


Kwa hiyo ninasema: “Munisikilize, muache nami nitoe maoni yangu.”


Nilisema ndani ya moyo: “Uwaache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.”


Kama uzi unaoshikilia uzima wao ukikatwa, wao wanakufa, tena bila kuwa na hekima”.


Ninawapita wazee kwa akili yangu, kwa sababu ninashika kanuni zako.


Kwa kanuni zako ninapata hekima, kwa hiyo ninachukia kila mwenendo mubaya.


Afazali kijana masikini mwenye hekima kuliko mufalme muzee mupumbafu, ambaye hasikilizi shauri jema,


Nitawaendea wakubwa niongee nao; bila shaka, wao wanajua mapenzi ya Yawe; wanajua sheria ya Mungu wao. Lakini wote ni sawa. Wamevunja nira yao, wamekata minyororo yao.


Katika siku zile Yesu akasema: “Ee Baba, Mwenyeji wa mbingu na dunia, ninakushukuru kwa maana mambo uliyoyaficha kwa watu wenye hekima na elimu, umeyafunua kwa wanaokuwa wadogo.


Ni nani kati ya wakubwa wetu au kati ya Wafarisayo aliyemwamini?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ