Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 32:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Nilisema ndani ya moyo: “Uwaache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 32:7
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nyuma, Rehoboamu akataka kujua maoni ya wazee ambao walikuwa washauri wa baba yake Solomono alipokuwa angali muzima, akawauliza: “Munanishauria kwamba niwape jibu gani watu hawa?”


Hekima iko kwa watu wazee, maarifa kwa walioishi muda murefu.


Kati yetu kuna wazee wenye hekima, wenye miaka mingi kuliko baba yako.


Si lazima kuwa muzee kusudi ukuwe na hekima; haiko wazee tu ndio wenye kufahamu jambo linalokuwa sawa.


Ninawapita wazee kwa akili yangu, kwa sababu ninashika kanuni zako.


Kuwa na imvi za uzee ni taji la utukufu; zinapatikana kwa maisha ya haki.


Kweli, kwa wakati huu, ninyi mungepaswa sasa kuwa walimu, lakini mungali munahitaji kufundishwa tena mafundisho ya mwanzo ya neno la Mungu. Mumegeuka tena wenye kuhitaji kunywa maziwa, wala si chakula kigumu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ