Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 32:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Basi, Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi, akaanza kusema: Mimi ni kijana, ninyi ni wazee zaidi. Kwa hiyo niliogopa kuwaambia mawazo yangu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 32:6
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hekima iko kwa watu wazee, maarifa kwa walioishi muda murefu.


Kati yetu kuna wazee wenye hekima, wenye miaka mingi kuliko baba yako.


Wewe ndiwe mutu wa kwanza kuzaliwa? Wewe ulizaliwa mbele ya kuwa kwa vilima?


Kwa hiyo Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi wa ukoo wa Rama akakasirika. Alimukasirikia Yobu kwa sababu Yobu alijiona yeye mwenye haki na wala si Mungu.


Lakini alipoona wale watu watatu wameshindwa kumujibu Yobu, akawaka hasira.


Unapokuwa mbele ya muzee unapaswa kusimama kwa kumupa heshima yake, nawe umwogope Mungu wako. Mimi ni Yawe.


Mumupe kila mutu haki yake: mulipishaji wa kodi, mumulipe kodi; mulipishaji wa ushuru, mumulipe ushuru. Mumuheshimu anayestahili kuheshimiwa na mumutukuze anayestahili kutukuzwa.


Usimukaripie muzee kwa nguvu, lakini umwonye kama baba yako. Uwatendee vijana wanaume kama wandugu zako,


Vilevile uwaonye vijana wanaume wakuwe wenye utaratibu katika mambo yote.


Na hivi vilevile, ninyi vijana, munapaswa kuwatii hao wazee. Ninyi wote munapaswa kuwa na unyenyekevu, mupate kutumikiana; maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Mungu anawapinga wenye kiburi, lakini anawajalia wanyenyekevu neema.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ