Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 32:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Lakini alipoona wale watu watatu wameshindwa kumujibu Yobu, akawaka hasira.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 32:5
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi wa ukoo wa Rama akakasirika. Alimukasirikia Yobu kwa sababu Yobu alijiona yeye mwenye haki na wala si Mungu.


Elihu alikuwa amekaa kimya wakati wale wazee waliposema na Yobu kwa maana yeye alikuwa kijana kuliko wao.


Basi, Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi, akaanza kusema: Mimi ni kijana, ninyi ni wazee zaidi. Kwa hiyo niliogopa kuwaambia mawazo yangu.


Mara tu walipokaribia kambi walimwona yule mwana-ngombe na watu wakicheza. Hapo hasira ya Musa ikawaka kama moto, akatupa chini vile vibao kutoka mikono yake na kuvivunja pale chini ya mulima.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ