4 Elihu alikuwa amekaa kimya wakati wale wazee waliposema na Yobu kwa maana yeye alikuwa kijana kuliko wao.
Vilevile, aliwakasirikia warafiki watatu wa Yobu kwa sababu hawakukuwa na neno la kumujibu Yobu, na kwa hiyo wakaonyesha kwamba Mungu amekosa.
Lakini alipoona wale watu watatu wameshindwa kumujibu Yobu, akawaka hasira.
Kujibu mbele ya kusikiliza ni upumbafu na jambo la haya.
wakati wa kupasua na wakati wa kushona, wakati wa kukaa kimya na wakati wa kusema,
Unapokuwa mbele ya muzee unapaswa kusimama kwa kumupa heshima yake, nawe umwogope Mungu wako. Mimi ni Yawe.