Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 32:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kwa hiyo Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi wa ukoo wa Rama akakasirika. Alimukasirikia Yobu kwa sababu Yobu alijiona yeye mwenye haki na wala si Mungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 32:2
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Usi muzaliwa wa kwanza, Buzi ndugu yake, Kemweli baba ya Aramu,


Ni sawa kwako kunionea, kuzarau kazi ya mikono yako na kupendelea mipango ya waovu?


Uovu wako ndio unaongoza kinywa chako, nawe unachagua kusema kama wadanganyifu.


Hapana! Uovu wako ni mukubwa sana! Ubaya wako hauna mwisho!


Kama vile Mungu anavyoishi, aliyeniondolea haki yangu, Mungu Mwenye Uwezo aliyeifanya nafsi yangu ikuwe na uchungu,


Siwezi kabisa kusema kwamba ninyi munasema ukweli. Mpaka kufa kwangu ninasema sina kosa.


Ninashikilia haki yangu, wala sitaiacha; katika zamiri yangu sina cha kunihukumu katika maisha yangu.


Umegeuka kuwa mukali kwangu, unanitesa kwa mukono wako wenye nguvu.


Vilevile, aliwakasirikia warafiki watatu wa Yobu kwa sababu hawakukuwa na neno la kumujibu Yobu, na kwa hiyo wakaonyesha kwamba Mungu amekosa.


Kweli umesema, nami nikasikia; nimesikia yote uliyosema.


Yobu, unaona jambo hili ni sawa? Unasema: “Mimi ni mwenye haki mbele ya Mungu.”


Unataka kweli kugeuza hukumu yangu, kuniona nina kosa kusudi wewe usikuwe na kosa?


Nimekuwa mugeni kwa wandugu zangu, kaka na dada zangu hawanitambui.


Yesu akawakazia macho kwa kasirani, akihuzunika kwa sababu ya ugumu wao. Akamwambia yule mutu: “Nyoosha mukono wako.” Akaunyoosha, nao ukakuwa muzima tena.


Lakini kwa kutaka kujipatia haki, yeye akamwuliza Yesu: “Mwenzangu ni nani?”


Kama mukikasirika, musianguke katika zambi, kasirani yenu isidumu muchana kutwa,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ