Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 32:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Basi hawa watu watatu: Elifasi, Bildadi na Zofari, wakaacha kumujibu Yobu kwa vile alijiona kuwa mwenye haki.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 32:1
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nitamwambia Mungu: Usinitendee sawa na mwenye makosa. Unijulishe sababu ya kugombana nami.


Wewe unajua kwamba mimi sina kosa, na hakuna wa kuniokoa toka katika mikono yako.


Mungu aniue akitaka; sina la kupoteza. Hata hivyo nitautetea mwenendo wangu mbele yake.


Maneno yangu nimeyatarisha jinsi inavyofaa. Ninajua kwamba sina kosa.


Uovu wako ndio unaongoza kinywa chako, nawe unachagua kusema kama wadanganyifu.


Hapana! Uovu wako ni mukubwa sana! Ubaya wako hauna mwisho!


Pale, mutu wa usawa anaweza kujitetea. Mungu, mwamuzi wangu angeamua kuwa sina kosa milele.


Kweli umesema, nami nikasikia; nimesikia yote uliyosema.


Wewe umesema hivi: “Mimi niko safi, wala sina kosa. Hakuna ubaya wowote katika moyo wangu.


Unataka kweli kugeuza hukumu yangu, kuniona nina kosa kusudi wewe usikuwe na kosa?


Tafazali mugeuke, kusikuwe uovu; muache sasa, kwa ajili ya haki yangu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ