9 Na sasa wamenitungia wimbo wa kunizomea, nimekuwa kitu cha kuchekesha kwao.
Nilikuwa mutu wa kumwomba Mungu na kupata jibu lake. Sasa, watu wananichekelea. Wanachekelea mutu mukamilifu, mwenye haki.
Nimefanywa kuwa kichekesho kwa watu, nimekuwa mutu wa kutemewa mate.
Walikuwa wapumbafu wakubwa na waovu ambao walilazimishwa kufukuzwa katika inchi kwa fimbo.
Umetupotezea heshima mbele ya jirani zetu, nao wanatuchekelea na kutuzarau.
Ee Yawe, wewe umenidanganya, nami kweli nimedanganyika; wewe una nguvu kuliko mimi, nawe umeshinda. Nimekuwa mutu wa kuchekelewa kila siku, kila mutu ananizarau.
Nimekuwa kitu cha kuchekelewa kwa watu wote, muchana kutwa nimekuwa mutu wa kuzomewa.
Waadui zetu wote wanatuzomea.
Wakiikaa au wakienda, ni mimi ndiye wanayemuzomea.