Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 30:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Katika ukosefu na njaa kali walitafutatafuta kitu cha kutafuna katika jangwa, sehemu tupu zisizokuwa na chakula.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 30:3
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo kama punda wa pori katika jangwa, wanatoka mapema kwenda kutumika, wakitafuta chakula kwa bidii, kusudi wapate chochote cha kukulisha watoto wao.


Ningepata faida gani katika mikono yao, watu ambao nguvu zao zilikuwa zimewaishia?


Walichuma mimea katika jangwa na majani katika pori wakakula, walikula hata mizizi ya muti wa vifagio.


Alifukuzwa mbali na wanadamu, akili yake ikafanywa kama ya nyama, akaishi na punda wa pori, akakuwa anakula majani kama ngombe, na kulowanishwa na umande wa mbinguni mpaka alipotambua kwamba Mungu Mukubwa ndiye anayetawala juu ya falme za wanadamu, naye anamupa ufalme ule mutu yeyote anayemutaka.


Dunia haikustahili kuwa na watu kama hawa! Walitangatanga katika jangwa na katika milima, wakiishi katika mapango na mashimo ndani ya udongo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ