Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 3:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Ulaaniwe na wale wanaolaani siku, wale wafundi wanaoamusha Leviatani.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 3:8
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nabii Yeremia vilevile akatunga shairi la maombolezo kwa ajili ya kifo chake; nao waimbaji wote, wanaume na wanawake, wanamutaja Yosia katika maombolezo yao, mpaka leo. Wakakusudia kuwa wanafanya maombolezo haya katika Israeli; angalia nayo yameandikwa katika Maombolezo.


Usiku ule ukuwe tasa, sauti ya furaha isiingie ndani yake.


Nyota zake za mapambazuko zififie, utamani kupata mwangaza, lakini usipate, wala usione mwangaza wa mapambazuko.


Yeyote anayeona yule nyama mukubwa anakufa moyo na kuzimia.


Akipiga chafya, mwangaza unatokea, macho yake yanametameta kama jua inapotokea.


Katika dunia hakuna kinachofanana nayo; hicho ni kiumbe kisichokuwa na hofu.


Siku hiyo, Yawe atakamata upanga wake mukubwa, mukali na imara, na kuiazibu Leviatani, ile nyoka inayoruka na kuzongazonga. Yawe ataua nyoka mukubwa anayeishi katika bahari.


Basi, Yawe, Mungu wa majeshi, Bwana wetu anasema hivi: Kutakuwa kilio kila nafasi katika barabara za muji; watu wataomboleza: Ole! Ole! Walimaji wataitwa kuja kuomboleza, na wafundi wa kuomboleza kuja kufanya kilio.


‘Tuliwapigia ngoma, lakini hamukucheza! Tuliimba wimbo wa kilio, lakini hamukulia!’


Walipofika kwa nyumba ya mukubwa Yairo, Yesu akakuta kuko makelele, nao watu wakilia na kulalamika sana.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ