2 Yobu akasema:
Halafu Yobu akajibu:
Kisha Yobu akajibu:
Kisha hayo, Yobu akaamua kusema. Akalaani siku aliyozaliwa.
Iangamie siku ile niliyozaliwa, usiku ule iliposemwa: “Mimba ya mutoto mwanaume imepatikana.”
Kisha Yobu akamujibu Yawe:
Yobu akamujibu Elifasi:
Watu wale watano waliokwenda kuipeleleza inchi ya Laisi wakawaambia wandugu zao: “Munajua kwamba katika nyumba moja kati ya hizi kuna kizibao, sanamu ya kuchongwa na sanamu yenye kuyeyushwa? Basi, mufikiri namna ya kufanya.”