1 Kisha hayo, Yobu akaamua kusema. Akalaani siku aliyozaliwa.
Lakini sasa, unyooshe mukono wako uguse mali yake. Utaona namna atakutukana waziwazi!”
Katika mambo haya yote Yobu hakutenda zambi wala hakumushitaki Mungu kuwa na kosa.
Kisha wakaikaa kwenye udongo pamoja na Yobu kwa siku saba, muchana na usiku, bila kumwambia neno lolote maana waliona mateso yake kuwa makubwa sana.
Lakini sasa, unyooshe mukono wako umuguse mwili wake. Utaona namna atakutukana waziwazi.”
Yobu akasema:
Iangamie siku ile niliyozaliwa, usiku ule iliposemwa: “Mimba ya mutoto mwanaume imepatikana.”
Yobu anafungua kinywa kusema maneno matupu, anazidisha maneno bila akili.
Walimuletea uchungu katika roho, hata akasema maneno bila kufikiri.
Ole wangu, mama yangu, kwa sababu ulinizaa! Mimi nimekuwa mutu wa ubishi na ugomvi katika inchi yote! Sijapata kukopesha mutu wala kukopeshwa na mutu, lakini kila mutu ananilaani.