4 midomo yangu haitasema uongo hata kidogo, wala ulimi wangu kusema udanganyifu.
Munazani munamutumikia Mungu kwa kusema uongo na udanganyifu?
ingawa sijatesa watu kwa mukono wangu, na maombi yangu kwa Mungu ni safi.
Nani basi, anayeweza kuhakikisha kwamba mimi ni mwongo na kuonyesha kwamba maneno yangu si kweli?
Nitasema kadiri ya usawa wa moyo wangu; ninayoyajua nitayasema kwa uaminifu.
Ingawa sina kosa, ninaonekana kuwa mwongo. Kidonda changu hakiponi ingawa sina kosa.”
Lakini sasa muniangalie tafazali. Mimi sitasema uongo mbele yenu.
Ninyi hamumujui, lakini mimi ninamujua. Kama ningesema kwamba simujui, ningekuwa mwongo kama ninyi. Lakini ninamujua na ninashika neno lake.
Kufuatana na vile ninavyosema ukweli kama vile Kristo, ninaapa kwamba hakuna anayeweza kunizuiza kujivuna juu ya jambo hilo katika jimbo lote la Akaya.