Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 27:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Yobu akaendelea kutoa masemi yake, akasema:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 27:1
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Masemi yenu ni mezali za majivu, maneno yenu ni ukuta wa udongo.


Kisha Yobu akaendelea na masemi yake, akasema:


Maneno yangu ni mazitomazito; mawazo yangu ni ya hekima.


Nitasema nanyi kwa mafumbo, nitasema mambo yaliyofichwa tangu zamani;


Mezali katika midomo ya mupumbafu ni kama miguu ya kiwete inayoninginia.


Balamu akamutolea Balaki mashairi yake, akasema: Balaki amenileta hapa kutoka Aramu, hakika, mufalme wa Moabu amenileta kutoka milima ya mashariki: Kuja uwalaani watu wa Yakobo kwa ajili yangu, hakika, kuja uwakaripie Waisraeli!


Basi, Balamu akasema mashairi haya: Mashairi yangu mimi Balamu mwana wa Beori, mashairi ya mutu aliyefumbuliwa macho,


naye akasema mashairi haya ya Yawe: Mashairi yangu mimi Balamu mwana wa Peori mashairi ya mutu aliyefumbuliwa macho.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ