9 Anaufunika uso wa mwezi na kutandaza juu yake wingu.
Halafu Solomono akasema: “Yawe alisema kwamba atakaa katika giza nene.
Mawingu mazito yamemuzunguka asipate kuona; anatembea inje ya anga la dunia!”
Mungu alitandaza wingu juu ya watu wake, na moto kusudi uwaangazie usiku.
Mawingu na giza nzito vinamuzunguka; haki na sheria ni musingi wa utawala wake.
Watu wote wakasimama mbali wakati Musa alipokaribia lile wingu zito Mungu alimokuwa.
Mutu yeyote asikuje pamoja nawe, wala asionekane popote kwenye mulima, wala kondoo au ngombe wasikulishwe karibu yake.
Ni yeye tu asiyeweza kufa na anayekaa katika mwangaza ambao mutu hawezi kukaribia. Hakuna mutu aliyemwona wala hakuna mutu anayeweza kumwona. Ndiye mwenye heshima na uwezo wa milele! Amina.