Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 26:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Mungu anatandaza kaskazini juu ya pahali patupu, na anatundika dunia pahali pasipo kuwa kitu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 26:7
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nguzo za dunia zimesimikwa juu ya nini, au nani aliyeliweka jiwe lake la musingi,


Yeye peke yake alitandaza mbingu, na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.


Maana yeye aliweka misingi ya dunia juu ya bahari; aliisimika imara juu ya maji mengi.


Mbingu ni zako na dunia ni yako pia; ni wewe uliyeumba ulimwengu na vyote vinavyokuwa ndani yake.


Wewe uliumba kaskazini na kusini; milima Tabori na Hermoni inakushangilia.


Ninyi hamujui bado? Hamujapata kusikia? Hamukuambiwa tangu mwanzo? Hamujafahamu mwanzo wa dunia?


Dunia iliumbwa na yule anayeikaa juu ya mbingu; kutoka huko wakaaji wa dunia ni kama mapanzi! Yeye ametandika mbingu kama pazia, na kuzikunjua kama hema la kuishi ndani yake.


Muinue macho yenu juu mbinguni! Ni nani aliyeziumba nyota hizo? Ni yule anayeziongoza kama jeshi lake, anayeijua hesabu yake yote, anayeziita kila moja kwa jina lake. Kwa sababu yeye ni mwenye nguvu nyingi, hakuna hata moja inayokosekana.


Hivi ndivyo anavyosema Yawe aliyeumba mbingu na kuzitandika kama hema, aliyeifanya dunia na vyote vinavyokuwa ndani yake, anayewapa watu wanaokaa ndani yake uzima, na kuwajalia uzima wote wanaoishi ndani yake:


Ujumbe wa Yawe unaoelekea Israeli. Yawe aliyezitandaza mbingu, aliyeiweka misingi ya dunia na kumupa mwanadamu uzima anasema hivi:


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ