Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 26:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Kuzimu kuko wazi kabisa mbele ya Mungu. Shimo la kuangamia halina kifuniko chochote.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 26:6
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ukubwa wake unapita mbingu; wewe unaweza nini? Kimo chake kinapita kuzimu; wewe unaweza kujua nini?


Shimo la kuangamia na Kifo wanasema: “Tumesikia uvumi wake kwa masikio yetu.”


Maana ningekuwa nimezikwa, kimya; ningelala na kupumzika


Kosa langu lingekuwa kama vile moto wa kuniteketeza na kuangamiza, na kuchoma kabisa mapato yangu yote.


Umekwisha kuonyeshwa milango ya kifo au kuona milango ya makao ya giza kubwa?


Katika kinywa chake kunatokea mienge inayowaka, cheche za moto zinaruka inje.


Yeye anahamisha milima bila yenyewe kutambua, anaipindua mbali kwa hasira yake.


Kama ningeliomba giza linifunike, giza linizunguke pahali pa mwangaza,


Nikipanda juu mbinguni, wewe ni kule; nikijilaza chini katika kuzimu, wewe ni kule.


Macho yangu yamefifia kwa huzuni. Kila siku ninakulilia, ee Yawe. Ninakunyooshea mikono yangu.


Ikiwa Yawe anajua kuzimu na shimo la kuangamia, mawazo ya mwanadamu yataweza namna gani kujificha mbele yake?


Kuzimu na shimo la kuangamia havishibi hata kidogo, vilevile macho ya watu hayashibi.


Kuzimu nako kumechangamuka, kusudi ya kukupokea wakati utakapokuja. Kunaiamusha mizimu ikuje kukusalimia na wote waliokuwa wakubwa wa dunia; kunawasimamisha kutoka kwenye viti vyao vya kifalme wote waliokuwa wafalme wa mataifa.


Anafunua siri na mafumbo, anajua kinachokuwa katika giza, mwangaza unakaa kwake.


Hata wakijichimbia njia ya kwenda kuzimu, nitawakamata kule kwa mukono wangu; hata wakipanda juu mbinguni, nitawaporomosha chini.


Hakuna kitu kinachoweza kufichwa mbele ya Mungu, lakini vitu vyote vinafunuliwa na viko wazi mbele ya macho yake, yeye tutakayemutolea hesabu ya maneno yetu.


Na mufalme wao, ndiye malaika wa lile shimo ndefu la kuzimu, jina lake liliitwa kwa Kiebrania “Abidani” na kwa kigriki “Apolioni” (maana yake “Mwangamizaji”).


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ