5 Mizimu kule chini inatetemeka, maji ya chini na wakaaji wake yanaogopa.
Katika siku zile na hata kisha, kulikuwa majitu katika dunia ambao walikuwa wazao wa wana wa Mungu na wabinti za wanadamu. Hao ndio watu waliokuwa mashujaa na wenye sifa wa zamani, na waliitwa Wanefili.
Lakini umesema hayo kwa ajili ya nani? Nani aliyekusukuma kuongea hivyo?
Maana ningekuwa nimezikwa, kimya; ningelala na kupumzika
Macho yangu yamefifia kwa huzuni. Kila siku ninakulilia, ee Yawe. Ninakunyooshea mikono yangu.