3 Jinsi gani ulivyomushauri asiyekuwa na hekima, na kumushirikisha ujuzi wako!
Hakika! Ninyi ni watu wa hekima. Hekima itakufa wakati ule mutakapokufa.
Mimi nami nina ufahamu kama ninyi. Mimi si mutu wa akili ndogo kuliko ninyi. Yote muliyosema kila mutu anajua.
Heri mungekaa kimya kabisa, muonekane kwamba muna hekima!
Lakini ninyi mukuje, mukuje wote tena. Kwenu sitamupata mwenye hekima hata mumoja.
Aa! Jinsi gani ulivyomusaidia asiyekuwa na uwezo! Jinsi gani ulivyomwokoa asiyekuwa na nguvu!
Lakini umesema hayo kwa ajili ya nani? Nani aliyekusukuma kuongea hivyo?
Nitasema kadiri ya usawa wa moyo wangu; ninayoyajua nitayasema kwa uaminifu.
Kama sivyo, nyamaza unisikilize, ukae kimya nami nikufundishe hekima.
Nani wewe unayevuruga mipango yangu kwa maneno yasiyokuwa na akili?
Kweli kwangu hakuna kitu cha kunisaidia; musaada wowote ni mbali nami.
Munajua kwamba sikuwaficha hata neno moja lenye kuwafalia ninyi, lakini niliwahubiri na kuwafundisha katika mikutano na katika nyumba zenu.
Ni vile kwa sababu niliwatangazia mupango wote wa Mungu pasipo kuwaficha kitu.