Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 26:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Aa! Jinsi gani ulivyomusaidia asiyekuwa na uwezo! Jinsi gani ulivyomwokoa asiyekuwa na nguvu!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 26:2
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ilipofika saa sita muchana, Elia akaanza kuwachekelea akisema: “Muombe kwa sauti kubwa zaidi! Yeye ni mungu, labda iko na kazi nyingi au ametoka na kusafiri! Labda analala, munapaswa kumwamusha!”


Hakika! Ninyi ni watu wa hekima. Hekima itakufa wakati ule mutakapokufa.


Jinsi gani ulivyomushauri asiyekuwa na hekima, na kumushirikisha ujuzi wako!


Lakini ninyi munajua jambo lile vizuri sana! Mbona, basi munasema maneno yasiyokuwa na maana?


Sina nguvu ya kuweza kuendelea. Sijui mwisho wangu utakuwa namna gani, nipate kuvumilia.


Nguvu zangu ni kama za mawe? Au mwili wangu kama shaba?


Kweli kwangu hakuna kitu cha kunisaidia; musaada wowote ni mbali nami.


Maneno ya kweli yana nguvu kubwa! Lakini makaripio yenu yanafaa kwa nini?


Wakati wa uzee usinitupe; ninapoishiwa na nguvu usiniachilie.


Yawe alitaka shauri toka kwa nani, halafu akapata kuwa mwenye akili? Nani aliyemufundisha kuhukumu kwa haki? Nani aliyemufundisha maarifa, na kumwonyesha namna ya kuwa na akili?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ