Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 24:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kuna watu wanaoondoa watoto wayatima kwenye vifua vya mama yao. Wengine wanatwaa nguo ya masikini kuwa rehani.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 24:9
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, mwanamuke mumoja kati ya wake za wanafunzi wa manabii akamwendea Elisha, akamwambia: “Mutumishi wako, mume wangu amekufa, na kama vile unavyojua, alikuwa mwenye kumwogopa Mungu. Lakini mutu aliyemukopesha feza amekuja kuwatwaa wana wangu wawili wakuwe watumwa wake.”


Lakini sisi ni sawa na Wayuda wengine; watoto wetu ni sawa na watoto wao. Hata hivyo, tunawalazimisha watoto wetu kuwa watumwa. Wabinti zetu wamoja wamekwisha kuwa watumwa. Hatuna uwezo wa kuzuia jambo hili maana mashamba yetu na mizabibu yetu inanyanganywa na watu wengine.”


Wewe umemunyanganya ndugu yako nguo ya rehani; umemutwaa nguo hiyo moja anayokuwa nayo.


Wamasikini wanatembea uchi, bila nguo; wenye njaa wanabeba miganda ya ngano.


Wanalowana kwa mvua ya juu ya milima, wanajibanisha kwenye mawe kwa ukosefu wa makimbilio.


Nilimwokoa masikini aliyenililia kupata musaada, vilevile na yatima asiyekuwa na wa kumusaidia.


Ninyi munasubutu hata kuwapigia wayatima kura; munauzisha hata rafiki yenu!


Yawe anawashitaki wazee na wakubwa wa watu wake: Ninyi ndio mulioliharibu shamba la mizabibu; mali wamasikini walizonyanganywa ziko ndani ya nyumba zenu.


“Mutu yeyote akimwiba Mwisraeli mwenzake na kumufanya kuwa mutumwa wake au kumwuzisha katika utumwa, mutu huyo anapaswa kuuawa. Ndivyo mutakavyokomesha uovu kati yenu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ