Lakini munasema: “Waovu wanapelekwa haraka na mafuriko ya maji, makao yao yanabaki kuwa inchi iliyolaaniwa; hakuna anayeenda kwenye mashamba yao ya mizabibu.”
Kwa hiyo kama punda wa pori katika jangwa, wanatoka mapema kwenda kutumika, wakitafuta chakula kwa bidii, kusudi wapate chochote cha kukulisha watoto wao.