Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 24:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Wamasikini wanalazimishwa kuvuna mashamba ya wengine, wanaokota katika shamba la mizabibu la waovu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 24:6
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini munasema: “Waovu wanapelekwa haraka na mafuriko ya maji, makao yao yanabaki kuwa inchi iliyolaaniwa; hakuna anayeenda kwenye mashamba yao ya mizabibu.”


Kwa hiyo kama punda wa pori katika jangwa, wanatoka mapema kwenda kutumika, wakitafuta chakula kwa bidii, kusudi wapate chochote cha kukulisha watoto wao.


Usiku kucha wanalala uchi bila nguo, wakati wa baridi hawana cha kujifunikia.


kwa kufaidika na mazao yake bila kulipa na kusababisha kifo cha wenyeji,


Mutapanda mbegu, lakini hamutavuna. Mutakamua mafuta ya zeituni, lakini hamutatumia mafuta hayo. Mutakamua zabibu, lakini hamutakunywa divai hiyo.


“Taifa musilolijua litatwaa mazao yote ya inchi yenu na matunda ya jasho lenu, nanyi mutapondwa na kuteswa siku zote,


Watakula ngombe wenu na mazao yenu, mpaka muangamie. Hawatawaachia ngano, divai, mafuta, ngombe au kondoo mpaka wawaangamize.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ