Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 24:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Kwa hiyo kama punda wa pori katika jangwa, wanatoka mapema kwenda kutumika, wakitafuta chakula kwa bidii, kusudi wapate chochote cha kukulisha watoto wao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 24:5
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Isimaeli ataishi kama punda wa pori. Atapigana na kila mutu na kila mutu atapigana naye. Ataishi peke yake, akijitenga na watu wa jamaa yake.”


Utaishi kwa upanga wako, na utamutumikia ndugu yako; lakini utakapoasi utaivunja nira yake toka kwenye shingo yako.”


Makao ya wanyanganyi yana amani. Wenye kumuchokoza Mungu wako salama; nguvu yao ni mungu wao.


Mwuaji anaamuka asubui mapema, kwa kwenda kuwaua wamasikini na wakosefu, na usiku ukifika, kazi yake ni kuiba.


Wamasikini wanalazimishwa kuvuna mashamba ya wengine, wanaokota katika shamba la mizabibu la waovu.


Mazao yake yanakuliwa na wenye njaa, hata ngano iliyoota kati ya miiba. Wenye tamaa wananyanganya utajiri wake.


Hapo mwanadamu naye anaenda kwenye kazi zake; naye anatumika mpaka magaribi.


Waovu hawalali hata kidogo wasipotenda uovu; hawapati usingizi wasipomukwaza mutu.


kama punda dike wa pori aliyezoea jangwa. Katika tamaa yake ananusanusa upepo; nani anayeweza kumuzuiza katika hamu yake? Dume anayemutamani hahitaji kujisumbua; wakati wake unapofika watamupata tu.


Kama vile furu inavyowaka ndivyo mioyo yao inavyowaka kwa udanganyifu; usiku kucha hasira yao inafukiza moshi, inapofika asubui, inawaka kama ndimi za moto.


Wamekwenda kuomba musaada Asuria. Efuraimu ni punda wa pori anayetangatanga peke yake; Efuraimu amejilipia wapenzi wake.


Ole wao wanaopanga kutenda maovu, wanaolala usiku wakikusudia mabaya! Mara tu kunapopambazuka, wanayatimiza maana wako na uwezo.


Wakubwa wake ni simba wanaonguruma, waamuzi wake ni imbwa wa pori wenye njaa magaribi wasioacha chochote mpaka asubui.


Na kulipokucha asubui mapema, wakamutosha Yesu kwa Kayafa na kumupeleka kwenye nyumba ya liwali. Lakini Wayuda wenyewe hawakuingia ndani ya nyumba ya liwali, kwa maana kwa njia ile wangejichafua na kutoweza kuwa tayari kula karamu ya Pasaka.


Kesho yake kulipokucha, Wayuda wakafanya shauri; wakafanya kiapo kwamba hawatakula wala kunywa mpaka wamwue Paulo kwanza.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ