Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 24:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Wanasukuma wamasikini kandokando ya barabara; wamasikini wa dunia wanajificha mbele yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 24:4
22 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwuaji anaamuka asubui mapema, kwa kwenda kuwaua wamasikini na wakosefu, na usiku ukifika, kazi yake ni kuiba.


Nilimwokoa masikini aliyenililia kupata musaada, vilevile na yatima asiyekuwa na wa kumusaidia.


Kwa wamasikini nilikuwa baba yao; nilifanya bidii kutetea haki za watu nisiowajua.


Sikuwalilia wale waliokuwa na taabu? Sikuona uchungu kwa ajili ya wamasikini?


Nimepata kumukatalia masikini mahitaji yake au kuwafanya wajane watumaini bure?


Nilipoona mutu anakufa kwa kukosa nguo, au masikini ambaye hana nguo ya kuvaa,


Mwovu huyo hajali kabisa kutenda mema, lakini anatesa wamasikini, wakosefu, na wenye moyo wenye kuvunjika mpaka kufa.


Anayemutesa muzaifu anamutukana Muumba wake, lakini anayemwonea huruma mukosefu anamutukuza Mungu.


Anayemutesa masikini kwa kujitajirisha na anayewapa watajiri zawadi, wote wawili wataishia kuwa wamasikini.


Watu wa haki wakipata madaraka, kuna utukufu mukubwa. Lakini waovu wakitawala, watu wanajificha.


Waovu wakitawala, watu wanajificha. Lakini wakiangamia, wenye haki wanaongezeka.


Kuna watu ambao meno yao ni kama upanga, na mataya yao ni kama visu. Wako tayari kuwatafuna wamasikini wa inchi, na wakosefu wanaokuwa kati ya watu!


Wanakataa kusambisha wazaifu, wananyanganya watu wangu wamasikini haki yao. Wanateka wajane; wananyanganya wayatima mali yao.


Lakini baba yake, kwa sababu alilipisha bei isiyokuwa ya haki na kumwibia ndugu yake, wala hakuwatendea wandugu zake vizuri, hakika atakufa kwa sababu ya uovu wake.


Kila fasi katika inchi watu wanatendeana vibaya na kunyanganya kwa kinguvu. Wanagandamiza wamasikini na wakosefu, na kuwaonea wageni bila kujali.


Wanagandamiza wazaifu, na kuwabagua wamasikini wasipate haki zao. Mutoto na baba yake wanalala na binti mujakazi mumoja, hivyo wanalichafua jina langu takatifu.


Musikilize neno hili, enyi wanawake munaokuwa kama ngombe wa Basani munaokuwa kule juu ya mulima wa Samaria. Ninyi munaowaonea wamasikini, munaowagandamiza wakosefu, na kuwaambia waume zenu: Mutuletee divai tukunywe! Musikilize ujumbe huu:


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ