Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 24:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Wananyanganya wayatima punda wao, wanatwaa ngombe dume wa mujane kuwa rehani.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 24:3
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninyi munasubutu hata kuwapigia wayatima kura; munauzisha hata rafiki yenu!


kwa sababu hiyo ndiyo nguo yake ya pekee; ndiyo atakayojifunika nayo. Au unazani atalalia nini? Akinililia nitamusikiliza, maana mimi ni mwenye huruma.


“Mutu yeyote asitwae jiwe la chini au la juu la kusagia kuwa rehani; kufanya hivyo ni kama kutwaa uzima wa mutu huyo.


“Mutu yeyote akimwiba Mwisraeli mwenzake na kumufanya kuwa mutumwa wake au kumwuzisha katika utumwa, mutu huyo anapaswa kuuawa. Ndivyo mutakavyokomesha uovu kati yenu.


Niko hapa, na kama nimefanya tendo lolote baya, basi, mutoe ushuhuda mbele ya Yawe na mbele ya mufalme wake muchaguliwa. Nimenyanganya ngombe dume au punda wa mutu yeyote? Nimemugandamiza mutu yeyote? Nimemutesa mutu yeyote? Nimepokea kituliro kwa mutu yeyote kusudi nifunge macho mbele ya matendo yake? Museme nami nitamurudishia kitu chochote kile.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ