2 Hata leo malalamiko yangu ni ya uchungu. Ninapata maumivu na kuugua.
Ninachukia maisha yangu! Malalamiko yangu nitayasema bila kizuizi. Nitasema kwa uchungu wa moyo wangu.
Angekuelezea siri za hekima, maana yeye yuko na maarifa mengi. Ujue kwamba Mungu hakuhesabu makosa yako yote.
Kisha Yobu akajibu:
Heri ningejua pahali nitakapomupata Mungu! Ningeweza kwenda hata karibu naye.
Anaongeza uasi juu ya zambi zake; anaeneza mashaka kati yetu, na kuzidisha maneno yake juu ya Mungu.
Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu kusema. Nitasema kwa kusongwa kwa roho yangu, nitalalamika kwa uchungu wa nafsi yangu.
Muchana na usiku mukono wako ulinilemea; nguvu zangu zikakwisha, kama maji yanavyokauka wakati wa kipwa.
Heri kwa mutu kukaa peke yake na kimya, mambo mazito yanapomupata kutoka kwa Mungu.
Wewe mwanadamu! Kwa rafla nitakuondolea mupenzi wako. Lakini usiomboleze, wala kulia, wala kutoa machozi.