Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 22:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Umewaacha wajane waende mikono mitupu; umewaponda wayatima mikono yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 22:9
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Waovu wanatesa wanawake wasiopata watoto wala hawawatendei vizuri wanawake wajane.


Wananyanganya wayatima punda wao, wanatwaa ngombe dume wa mujane kuwa rehani.


Kama nimekunjia yatima ngumi katika tribinali nikijua nitapendelewa na waamuzi,


Ninyi munasubutu hata kuwapigia wayatima kura; munauzisha hata rafiki yenu!


Uvunje nguvu za mutu mwovu; ukomeshe uovu wake wote, usikuwe tena.


Maana nguvu za waovu zitavunjwa, lakini Yawe atawaimarisha watu wa haki.


Wanaua wajane na wageni; wanachinja wayatima.


mujifunze kutenda mema. Mufuate sheria ya Mungu, mumusaidie mwenye kuteswa, mumupatie yatima haki yake, mutetee haki za wajane.


Wakubwa wako ni waasi; wanashirikiana na wizi. Kila mumoja anapenda kituliro, na kukimbilia zawadi. Hawamupatii yatima haki yake, haki za wajane si kitu kwao.


Wanakataa kusambisha wazaifu, wananyanganya watu wangu wamasikini haki yao. Wanateka wajane; wananyanganya wayatima mali yao.


Nguvu za Moabu zimevunjika na uwezo wake umevunjika. –Ni ujumbe wa Yawe.–


Kwako baba na mama wanazarauliwa. Mugeni anayekaa kwako ananyanganywa mali yake. Wayatima na wajane wanaonewa.


Kwa hiyo, Bwana wetu Yawe anasema hivi: Nitapingana na Mufalme wa Misri. Nitaivunja mikono yake yote miwili, ule muzima na hata ule uliovunjika. Na upanga unaokuwa katika mukono wake utaanguka chini.


Yawe wa majeshi anasema: Kisha nitawakaribia kwa kuwahukumu. Sitasita kutoa ushuhuda juu ya wachawi, wazinzi, watoa ushuhuda wa uongo, wanaopunja mushahara wa watumishi, wanaowatesa wajane na wayatima, wanaozuia mugeni asipate haki yake na wale wasioniogopa mimi.


“Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria na Wafarisayo, ninyi wanafiki! Munanyanganya mali za wajane na kuomba maombi marefu kwa kujionyesha. Kwa sababu hii azabu yenu itakuwa kubwa zaidi!]


“ ‘Alaaniwe mutu yeyote anayepotosha haki ya mugeni au yatima au mujane’. Na watu wote wataitika: ‘Amina!’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ