Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 22:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Umewanyima maji wale waliokuwa wamechoka; umewanyima chakula wale wanaokuwa na njaa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 22:7
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nimepata kumukatalia masikini mahitaji yake au kuwafanya wajane watumaini bure?


Nimekula chakula changu peke yangu, bila kuwaachia wayatima nao wapate kitu chochote?


Watumishi wangu wote wanasema wazi, kila mugeni amekaribishwa katika nyumba yangu.


Anatoa kwa moyo safi, anawapa wamasikini. Haki yake inadumu milele. Ana nguvu na sifa.


Anayemusaidia masikini anamukopesha Yawe; Yawe atamulipa kwa tendo lake jema.


mukiwapa wenye njaa chakula, mukitimiza mahitaji ya wenye kuteswa, mwangaza utawaangazia nyakati za giza, giza lenu litakuwa kama muchana.


Mafungo ya kweli ni kugawanya chakula chako pamoja na wenye njaa, kuwakaribisha katika nyumba yako wamasikini wasiokuwa na makao, kuwavalisha wasiokuwa na nguo, bila kusahau kuwasaidia wandugu zenu.


Kwa maana nilisikia njaa, nanyi hamukunipa chakula; nilisikia kiu, nanyi hamukunipa maji;


Lakini kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Adui yako akisikia njaa, umupe chakula; kama akisikia kiu, umupe kinywaji. Maana kwa kufanya hivi utamupatisha haya kama vile ungemubebesha makaa ya moto juu ya kichwa.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ