Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 22:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Wewe umemunyanganya ndugu yako nguo ya rehani; umemutwaa nguo hiyo moja anayokuwa nayo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 22:6
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wananyanganya wayatima punda wao, wanatwaa ngombe dume wa mujane kuwa rehani.


Usiku kucha wanalala uchi bila nguo, wakati wa baridi hawana cha kujifunikia.


Nilimwokoa masikini aliyenililia kupata musaada, vilevile na yatima asiyekuwa na wa kumusaidia.


kwa sababu hiyo ndiyo nguo yake ya pekee; ndiyo atakayojifunika nayo. Au unazani atalalia nini? Akinililia nitamusikiliza, maana mimi ni mwenye huruma.


Juu ya kila mazabahu, watu wanalalia nguo walizozitwaa kwa masikini kama rehani ya madeni yao; na katika nyumba ya Mungu wao, wanakunywa divai waliyotwaa kwa wenye kuwa na madeni yao.


“Mutu yeyote asitwae jiwe la chini au la juu la kusagia kuwa rehani; kufanya hivyo ni kama kutwaa uzima wa mutu huyo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ