5 Hapana! Uovu wako ni mukubwa sana! Ubaya wako hauna mwisho!
Kama uovu uko katika mukono wako, uutupilie mbali. Usikubali ubaya ukuwe katika nyumba yako.
Angekuelezea siri za hekima, maana yeye yuko na maarifa mengi. Ujue kwamba Mungu hakuhesabu makosa yako yote.
Musikilize! Mimi ninajua mawazo yenu yote, na mipango yenu ya kunizarau.
Basi hawa watu watatu: Elifasi, Bildadi na Zofari, wakaacha kumujibu Yobu kwa vile alijiona kuwa mwenye haki.
Kwa hiyo Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi wa ukoo wa Rama akakasirika. Alimukasirikia Yobu kwa sababu Yobu alijiona yeye mwenye haki na wala si Mungu.
Vilevile, aliwakasirikia warafiki watatu wa Yobu kwa sababu hawakukuwa na neno la kumujibu Yobu, na kwa hiyo wakaonyesha kwamba Mungu amekosa.
Lakini sasa umehukumiwa kama mwovu, hukumu ya haki imekupata.
Yananifundisha mimi mutumishi wako; kuyafuata kunaniletea zawadi kubwa.
Ee Yawe, usikose kunirehemu! Wema na uaminifu wako vinilinde.