Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 22:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Mwanadamu anafaa kwa kitu chochote mbele ya Mungu? Kwa kweli mwenye hekima anajifaidia mwenyewe tu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 22:2
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mungu Mwenye Uwezo ni nini hata tumutumikie? Tunapata faida gani tukimwomba?”


Kisha Elifasi wa inchi ya Temani akajibu Yobu:


Unazani kwamba unamufurahisha Mungu Mwenye Uwezo kama wewe ni mwenye haki? Au anapata faida gani kama uko mukamilifu?


Mwanadamu ni nini hata umujali? Kwa nini unajishugulisha naye


Ninamwambia Mungu: “Wewe ni Bwana wangu; sina uheri wowote isipokuwa wewe.”


Kama una hekima, itakufaa wewe mwenyewe; kama ukiizarau, wewe mwenyewe utapata hasara.


Basi kama jicho lako la kuume likikukosesha, uliongoe na kulitupa mbali. Ni heri kwako kupoteza kiungo chako kimoja kuliko mwili wako wote muzima kutupwa katika jehenamu.


Na ni hivi inavyokuwa kwenu vilevile. Wakati mutakapokwisha kufanya yote muliyoamuriwa, museme: ‘Sisi ni watumishi tu, tumetimiza tu mapaswa yetu.’ ”


Yeye hahitaji kushugulikiwa na watu, kama vile angekuwa na lazima ya musaada fulani. Kwa maana yeye ndiye anayewapa watu wote pumzi ya uzima, pamoja na vitu vyote wanavyohitaji.


na mutii amri na masharti ya Yawe ninayowawekea leo, kwa mafaa yenu wenyewe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ