1 Kisha Elifasi wa inchi ya Temani akajibu Yobu:
Kisha Elifasi wa inchi ya Temani, akajibu:
Mutaweza namna gani basi, kunifariji kwa maneno matupu? Majibu yenu hayana kitu chochote lakini uongo tu.
Mwanadamu anafaa kwa kitu chochote mbele ya Mungu? Kwa kweli mwenye hekima anajifaidia mwenyewe tu.
Kisha Elifasi wa inchi ya Temani akamujibu Yobu: